Wakizungumza jana baada ya kutembelea karakana ya Sido ya mkoa wa Iringa eneo la Kibwabwa manispaa ya Iringa,wajumbe walishangazwa na mashine zinazotumia teknolojia ya zamani na nyingine zikiwa hazifanyi kazi kutokana na uchakavu.
Walisema hali ya amshine za Sido na majengo yake haviendani na sera ya serikali ya uchumi wa viwanda,hivyo serikali inatakiwa kuangalia shirika hilo kwa jicho la kipekee kama inamaanisha kukuza viwanda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |