Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bibi Hua Chunying amesema, mjumbe maalum wa rais Xi Jinping wa China, ambaye pia ni mjumbe wa ofisi ya siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China Bw. Yang Jiechi ataanza ziara rasmi ya siku mbili nchini Afrika Kusini kuanzia kesho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |