Alitoa kauli hiyo wakati alipotembelea kiwanda cha kuzalisha chumvi kilichopo kata ya Ivuna ambapo alisema mradi huo ukitumiwa vizuri utainua uchumi wa mtu mmoja mmoja na serikali kwa ujumla.
Lubinga alishauri wanufaika wa mfuko wa Jamii (TASAF) washirikishwe katika uchumi wa viwanda ili waweze kujikwamua kiuchumi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |