• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waamuzi wa Kombe 2018: Kwa mara ya kwanza hakutakuwa na mwamuzi kutoka Uingereza

    (GMT+08:00) 2018-03-30 08:36:27

    Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 80, mwaka huu katika mashindano ya kombe la dunia hakutakuwa na mwamuzi kutoka Uingereza, licha ya kuwepo majina yaliyopendekezwa.

    Mark Clattenberg aliyechesha kwa mafanikio mechi ya fainali ya kombe la mataifa ya Ulaya, na ndiye aliyekuwa anapewa nafasi hiyo nchini Urusi mwaka huu, lakini kutokana nay eye kujiondoa katika waamuzi wa ligi kuu nchini Uingereza FIFA wakaondoa jina lake kwenye orodha ya waamuzi wake.

    Chama cha soka cha Uingereza FA kiliiomba FIFA kuweka mbadala wake jambo ambalo halikuwezekana licha ya kupeleka majina ya wazoefu wakiwemo Martin Atkinson, Stuart Attwell, Robert Madley, Michael Oliver, Craig Pawson, Anthony Taylor na Paul Tierney.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako