Matokeo ya awali ya hesabu ya kura katika uchaguzi mkuu wa Misri yanaonesha kuwa rais wa sasa Abdel Fattah al-Sisi ameshinda muhula mwingine wa urais, na matokeo rasmi yanatarajiwa kutangazwa Aprili 2.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |