Habari kutoka Ofisi ya Miradi ya China ya kupeleka wanaanga kwenye anga za juu inasema, saa mbili na dakika 15 leo asubuhi, kituo cha anga za juu cha China Tiangong-1 kimeanguka kwenye eneo la katikati ya bahari ya Pasifiki ya Kusini, na kiasi kikubwa cha chombo hicho kimeteketezwa kikiwa njiani kurudi ardhini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |