Kenya ni kati ya nchi nne za Kiuchumi Afrika ambayo imefanya mageuzi mengi katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, ambayo ni kuwezesha wanawake kifedha.
Hii ni kulingana na utafiti mpya wa Benki ya Dunia ambayo inaonyesha kwamba nchi imeendelea katika kutekeleza sheria zinazoendeleza usawa kati ya wanaume na wanawake.
Ripoti iliyotolewa hivi majuzi , imeonyesha Kenya ilipitisha sheria yake ya kwanza ya unyanyasaji wa nyumbani, ambayo inalinda familia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |