• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Makampuni zaidi ya 1,600 kuhudhuria maonyesho ya Kimataifa ya Shanghai

    (GMT+08:00) 2018-04-03 19:22:48

    Makampuni zaidi ya 1,600 kutoka nchi zaidi ya 120 na mikoa wameomba kuhudhuria maonyesho ya Kimataifa ya Shanghai mwezi Novemba baadaye mwaka huu.

    Zaidi ya watu 600 wamesaini mikataba ya kushiriki maonyesho hayo, ambayo yanatarajiwa kuchukua mita za mraba zaidi ya 120,000.

    Makampuni makubwa duniani yanapanga kuleta bidhaa zao mpya kwa maonyesho hayo, kutokana na uwezo mkubwa wa soko na kwamba uchumi wa China ni wa pili kwa ukubwa duniani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako