Rais Xi Jinping wa China na mwenzake wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa leo wamekubaliana kujenga ushirikiano wa kiwenzi na kimkakati wa pande zote kati ya nchi hizo mbili.
Marais hao wamefanya mazungumzo leo katika jumba la mkutano la umma la China mjini Beijing.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |