CAF wametuma taarifa inayoiwazuia Yanga kuwatumia wachezaji wake wanne ambao ni Kelvin Yondani, Obrey Chirwa, Papy Tshishimbi na Sidi Juma, huku timu ya Ethiopia imezuiwa kuwatumia wachezaji wake wawili kutokana na kutumikia kadi za njano.
Timu hizo zitakutana katika mchezo wa kwanza wa mtoano wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika jijini Dar es Salaam kati ya April 6 au 8 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |