Katika uchaguzi huo pia ulimchagua Habyarimana Matiku kuwa makamu wa rais, na wajumbe wengine watatu wa kamati ya utendaji. Viongozi waliochaguliwa watahudumu kwa muda wa miaka minne.
Rais aliyekuwa akimaliza muda wake Vincent Nzamwita hakuwania nafasi hiyo kwa sababu binafsi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |