• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania kuandaa michuano ya kanda ya tano Afrika

    (GMT+08:00) 2018-04-04 10:51:50
    Tanzania itakuwa mwenyeji wa michuano ya mpira wa kikapu ya kanda ya tano ya Afrika kwa wachezaji walio na umri chini ya miaka 18 itakayofanyika mwezi Juni mwaka huu.

    Kanda ya tano hujumuisha nchi 12 nazo ni mwenyeji Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini, Eritrea, Djibout, Ethiopia na Misri.

    Akuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, rais wa chama cha mpira wa kikapu Tanzania, TBF, Fares Magesa amesema michuano hiyo itachezwa jijini Dar na jumla ya timu 24 zitashiriki, 12 za wanaume na 12 za wanawake.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako