Kanda ya tano hujumuisha nchi 12 nazo ni mwenyeji Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini, Eritrea, Djibout, Ethiopia na Misri.
Akuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, rais wa chama cha mpira wa kikapu Tanzania, TBF, Fares Magesa amesema michuano hiyo itachezwa jijini Dar na jumla ya timu 24 zitashiriki, 12 za wanaume na 12 za wanawake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |