Mwanasheria wa Marekani Alex van der Zwaan amehukumiwa kifungo cha siku 30 na faini ya dola elfu 20 za kimarekani na mahakama moja ya Washington D.C. kwa tuhuma za kushirikiana na Russia kuingilia uchaguzi mkuu wa Marekani, na kuwa mtuhumiwa wa kwanza kuhukumiwa tangu uchunguzi kuhusu Russia kuingilia uchaguzi wa Marekani ulipoanza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |