Adhabu hiyo imetolewa kwa timu ya Black Sailors, Miembeni City na Kilimani City ambapo kila timu inatakiwa kulipa faini ya shilingi laki moja kwa kosa hilo.
Kwa upande mwiginge ZFA imemuadhibu kocha msaidizi wa timu ya Kilimani City Abrahamani Mussa kutokaa katika benchi la ufundi kwa muda usiojulikana kutokana na kutoa lugha chafu kwa waamuzi waliochezesha mchezo kati ya Kilimani City dhidi ya Black Sailors.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |