Kocha wa timu Bayern, Jupp Heynckes ametoa kauli hiyo wakati timu hiyo ikijiandaa kwa mchezo war obo fainali ya ligi ya klabu bingwa ulaya dhidi ya Sevilla.
Heynckes ametamba, Madrid haina nafasi ya kumsajili nahodha huyo wa timu ya taifa ya Poland kwakuwa ni mchezaji muhimu katika kikosi chake.
Hivi karibuni Real Madrid ilitangaza kuweka dau mezani kumsajili mchezaji huyo mwenye kiwango bora katika ligi ya Ujerumani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |