Na katika mchezo wa pili, Kenya imeifndisha Mexico namna ya kucheza raga kwa kuichapa kwa alama 40-0.
Mechi za robo fainali zitachezwa leo ambapo Kenya itavaana na Argentina, huku Wales itakutana na Afrika Kusini, na Ubelgiji itapambana na Brazil, nayo China itakapokabiliana na Papua New Guinea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |