Liverpool walikuwa wenyeji wa Man City katika uwanja huo kwenye mchezo wa kwanza wa Klabu bingwa ulaya uliomalizika kwa Liverpool kupata ushindi wa magoli 3-0, hivyo kitendo cha mashabiki kurushia chupa basi la Man City kimepingwa vikali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |