• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Matokeo ya michezo ya kwanza ya robo fainali ya UEFA Europa League

    (GMT+08:00) 2018-04-06 09:12:00
    Michuano ya robo fainali ya ligi ya Europa imepigwa jana kwa michezo minne. Arsenal imeichapa bila huruma CSKA Moscow magoli 4-1, dakika 26 kabla ya mapumziko, Alexandre Lacazette na Aaron Ramsey waliifungia Arsenal magoli mawili. Katika kipindi vcha pili dakika za 28 na 35 wachezaji hao walishindilia karamu ya magoli kwa kuongeza magoli mawili mengine. Hadi mwisho wa mchezo Arsenal iliibuka kidedea kwa ushindi huo mnono.

    Michezo mingine ilikuwa kati ya Atletico Madrid imeifunga Sporting Lisbon magoli 2-0, nayo Lazio imeicharaza RB Salzburg magoli 4-2 huku RB Leipzig imeifunga Marseille 1-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako