• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Marais wa China na Austria wakutana Beijing

    (GMT+08:00) 2018-04-09 10:06:52

    Rais Xi Jinping wa China amefanya mazungumzo na rais Alexander Van der Bellen wa Austria ambaye yuko kwenye ziara yake ya kwanza nchini China, na kuhudhuria mkutano wa mwaka wa Baraza la Asia la Boao.

    Viongozi hao wawili wamekubaliana kuanzisha uhusiano wa wenzi wa kimkakati na kirafiki kati ya nchi zao, na kukuza ushirikiano ufikie ngazi mpya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako