Akizungumza mara baada ya mazoezi jana mchana katika uwanja wa Amaan, Kocha huyo amesema wameamua kufanya mazoezi mchana ili kuzowea mazingira ya Burundi katika mashindano hayo kwani katika ratiba wamepangiwa kucheza michezo mingine mchana huku aakisema kuwa anaamini kikosi chake kitatwaa ubingwa wa Mashindano hayo.
Zanzibar imepangwa kundi 'B' pamoja na ndugu zao Tanzania bara, Sudan na Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |