Rais Donald Trump wa Marekani amesema atakutana na kiongozi wa Korea Kaskazini Bw. Kim Jong-un mwezi Mei au mwanzoni mwa mwezi Juni, na kwamba anatumai kuwa kwenye mazungumzo hayo nchi hizo mbili zitaweza kufikia makubaliano ya kuondoa silaha za nyuklia kwenye peninsula ya Korea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |