• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Baraza la usalama la UM halijapitisha miswada ya azimio kuhusu shambulizi la kikemikali nchini Syria

    (GMT+08:00) 2018-04-12 08:24:26

    Baraza la usalama la Umoja wa mataifa halijapitisha miswada mitatu ya azimio iliyowasilishwa na Marekani na Russia kuhusu utaratibu wa uchunguzi juu ya shambulizi la kikemikali nchini Syria. Naibu balozi wa China katika Umoja wa mataifa Bw. Wu Haitao amesema baraza la usalama linapaswa kudumisha mshikamano, kufanya baraza hilo na Shirika la kupiga marufuku silaha za kikemikali OPCW kuwa njia kuu ya kushughulikia suala la silaha za kikemikali la Syria, na kutatua masuala yaliyopo kwa uratibu na kwa hatua mwafaka.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako