Waziri wa vijana vijana, michezo na utamaduni wa Burundi bwana Jean Bosco Hitimana amesema michuano hiyo itakuwa ya siku 10 na jumla ya nchi 35 za Afrika zitashiriki, mabingwa wa michuano hiyo watashiriki katika mashindano ya vijana ya Olimpiki mwaka huu na mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika Tokyo Japan mwaka 2020.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |