Madada hao walicheza katika mechi ya kwanza ya Uholanzi huko North Carolina mwezi Februari, na kufanikiwa kutinga nusu fainali hiyo itakayochezwa katika mji wa Aix-En nchini Ufaransa April 21 na 22 mwaka huu. Mchezo mwingine wa nusu fainali utakuwa kati ya timu ya Ujerumani dhidi ya Jamhuri ya Czech utakaochezwa mjini Stuttgart.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |