Serikali ya Ujerumani imeamua kuwa jeshi la ulinzi wa taifa litaongeza muda wa majukumu ya kutoa ushauri wa kijeshi na mafunzo nchini Mali
Ujerumani imefikia uamuzi huo baada ya kufanya mkutano wa ndani uliodumu kwa siku mbili huko Meseberg.
Muda wa jeshi hilo kutoa ushauri na mafunzo kwa jeshi la Mali utamalizika mwezi Mei mwaka huu, na sasa muda huo umeongezwa kwa mwaka mmoja hadi mwaka kesho mwezi wa Mei.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |