Ndege moja ya abiria ya Shirika la ndege la Russia ilitua Jumatano usiku kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Cairo, baada ya Russia kuamua kurejesha safari za ndege za moja kwa moja kati yake na Misri zilizositishwa kwa zaidi ya miaka miwili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |