Bara la Afrika linamategemeo ya kupata medali zaidi kutoka kwa wanamichezo wan chi mbalimbali za Afrika zinazoshiriki michuano hiyo.
Mwanariadha toka Afrika Kusini, Caster Semenya, anapewa matumaini ya kupata medali ya pili ya dhahabu, baada ya kumaliza wa kwanza katika raundi ya kuingia katika fainali za mita 800.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |