Kocha huyo wa zamani wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars, alipata tuzo hiyo baada ya kumshinda kocha mkuu wa mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Kenya KPL K'ogallo Gor Mahia Dylan Kerr katika kinyangayiro hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |