Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umesema kundi la Houthi la Yemen limerusha makombora 119 dhidi ya Saudi Arabia tangu vita vya wenyewe kwa wenyewe viibuke nchini humo. Msemaji wa muungano huo amesema makombora mengi kati ya hayo yalirushwa kutoka mkoa wa Saada unaopakana na Saudi Arabia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |