Mwongoza filamu mashuhuri wa Kenya Tosh Gitonga, kazi yake nzuri ya "Nairobi Half life" ni filamu ya kwanza ya Kenya kuingia kwenye tuzo za Oscar za filamu nzuri ya lugha ya kigeni kwa mwaka 2012, na kwenye Tamasha la nne la kimataifa la filamu la Beijing la maka 2014.