Inadaiwa kuwa, watuhumiwa hao wamekamatwa kutokana na matumizi hayo ya kiasi cha dola za Marekani milioni moka fedha zilizokuwa zimetolewa na shirikisho la soka duniani (FIFA) kwa ajili maandalizi ya michuano ya timu za taifa za soka na klabu zilizoshiriki katika michuano ya Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |