Hatua hiyo ni kufuatia mkutano kati ya viongozi wa vilabu shiriki na maafisa wa shirikisho la soka la FKF tawi la Pwani kusini uliofanywa mjini Mombasa.
Mkutano huo ulijadili namna ligi ya msimu uliopita ilivyoendeshwa na msimu huu itakavyoendeshwa. Jumla ya timu 36, zimegaanywa kwenye makundi manne ya timu tisa kwa kila kundi, zitashiriki ligi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |