Timu ya Galatasaray imeichabanga timu ya Reyer kutoka Italia kwa vikapu 72 kwa 65 katika mzunguko wa mwisho wa ligi ya mpira wa kikapu Ulaya na kunyakua kombe hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |