• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ligi ya Mabingwa Ulaya: Nusu fainali ya kwanza kupigwa leo

    (GMT+08:00) 2018-04-24 08:39:18
    Mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya kuchezwa leo usiku katika uwanja wa Anfield Uingereza.

    Mchezo huo unazikutanisha AS Roma ambao watakuwa wenyeji wa Liverpool.

    AS Roma wakifanya mazoezi ya mwisho kabla ya mechi hiyo katika uwanja wa mazoezi wa Trigoria nchini Uingereza wameonekana kujiamini tayari kwa pambano hilo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako