Timu ya Jogoo imefungwa 73-70 katika mchezo huo mkali uliochezwa uwanja wa Bandari. UDSM Insider inashika nafasi ya 13 kati ya timu 16 zinazoshiriki ligi hiyo ya wanaume, timu kongwe ya Oilers inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 22 ikifuatiwa na Savio yenye pointi 19.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |