Joseph Mbatha wa Kenya alimaliza wa kwanza katika mbio hizo za kilomita 21 akitumia saa 1:04:54, nafasi ya pili imekwenda kwa Mkenya mwingine Berdarn Mussa aliyetumia saa 1:05:09, Mtanzania Paschal Mombo ameambulia nafasi ya tatu baada ya kumaliza km 21 kwa kutumia saa 1:06:05.
Kwa upande wa wanawake, Mkenya Monica Cherito kunyakua medali ya dhahabu baada kutumia saa 1:04:54 na kuchukua nafasi ya kwanza, akifuatiwa na Failuna Abdi wa Tanzania aliyemaliza muda wa saa 1:06:12.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |