Haukukuwa ushindi mwepesi kwa Serengeti Boys, ililazimika kutoka nyuma kwa bao 1-0 ili kuwalaza Wakenya 2-1 baada ya dakika 90.
Timu hiyo ya Tanzania sasa inasubiri mshindi wa mechi ya nusu fainali ya pili kati ya Uganda na Somalia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |