Hatua hii imekuja baada ya wachezaji zaidi ya 60 mwaka 2015 kupoteza uraia wao wa Rwanda wakati nchi hiyo ilipoondolewa katika mashindano ya kufuzu kucheza fainali ya mataifa bingwa barani Afrika baada ya kumtumia mchezaji Dadi Birori aliyekuwa ana pasi ya kusafiria ya DRC.
Kagere ni mzaliwa wa Uganda lakini wazazi wake ni Wanyarwanda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |