Michezo hiyo itafanyika baada ya maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwenye uwanja wa Jamhuri mjini humo.
Msemaji wa Bunge Sports, Amina Mollel amewaeleza waandishi wa habari kuwa, timu hiyo inayoundwa na wabunge kutoka vyama mbalimbali imejiandaa vya kutosha na kuahidi burudani kwa wakazi na wageni wa mkoa huo ambao kijiografia, upo katikati ya nchi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |