Hayo yametokana na shutuma kuhusu ombi la Mororcco kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la dunia mwaka 2026 huku ikipata upinzani mkali kutoka nchi za Amerika ya Kusini ikiwemo Canada, Marekani na Mexico.
Akijibu shutuma hizo, msemaji wa Fifa amesema mchakato wa kumpata mwenyeji wa michuano ya 2026 unafuata sheria na uwazi na hivyo hakuna mtu anayepaswa kuwa na hofu juu ya hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |