Sheria hizo zinawataka baadhi ya wanariadha wa kike wenye homoni nyingi za kiume watatakiwa kukimbia dhidi ya wanaume au kubadili mashindano hadi pale watakapopata matibabu.
Mwanariadha wa Afrika Kusini Caster Semenya ambaye ni mshindi wa mita 800 kwenye michuano ya Olimpiki amesema yupo tayari kukimbia umbali mrefu zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |