Kongamano la uchapishaji wa vitabu muhimu vya maadhimisho ya miaka 200 tangu kuzaliwa kwa Karl Marx limefanyika leo mjini Beijing.
Mwaka huu pia ni mwanzo wa kutekeleza mawazo yaliyotolewa kwenye Mkutano Mkuu wa 19 wa Chama cha kikomunisti cha China.
Mkutano huo umeeleza kuwa, uchapishaji wa vitabu hivyo utakuwa na umuhimu mkubwa katika kuwahamasisha wananchi kujifunza na kutumia nadharia ya Umarx, kufuata kwa hatua thabiti itikadi ya kisayansi ya Umarx, imani ya usoshalisti, na ujamaa wenye umaalumu wa kichina.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |