Shirika la ndege la Ethiopia, imetia saini mkataba wa ununuzi wa amesaini mkataba wa ununuzi ndege 10 mpya Q400.
Thamani ya manunuzi ni dola milioni 332.
Hivi sasa, Mashirika ya ndege ya Ethiopia zina zaidi ya ndege 100, ambazo zinasafiri maeneo mbalimbali duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |