Kwa mujibu wa kampuni ya pombe ya Keroche, pombe feki imefikia asilimia 40 katika soko na takwimu zinazoongezeka kwa kila siku.
Nchi inapoteza mamilioni ya pesa na ukosefu wa ulipaji kodi, kutokana na uingiaji wa pombe la bei nafuu.
Mamlaka ya ushuru, imeombwa kuweka marsharti makali kwa yeyote yule, atapatikana akiuuza au kuzalisha vinjwa au pombe haramu nchini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |