Timu hiyo imeondoka na wachezaji 9 na viongozi 4 kutimiza jumla ya watu 13 kwenye msafara wao.
Rais wa TFF Karia, ameitakia heri timu hiyo na kuhakikisha inapeperusha vyema bebdera ya Tanzania kwenye michuano hiyo. Mwaka 2014 timu hiyo ilifanikiwa kutwaa kombe la dunia kwenye michuano kama hiyo iliyofanyika nchini Brazil.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |