Mwenyekiti wa chama cha mpira wa kikapu Tanzania (CHANETA) Bi. Devotha Marwa amesema timu zinazoshiriki ni kutoka Tanzania ambao ni wenyeji, Kenya, Uganda na Zanzibar na kuwa michuano hiyo inasaidia kuimarisha umoja na ushirikiano kwa nchi hizo za Afrika Mashariki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |