Kocha huyo mwenye mafanikio zaidi katika soka ya Uingereza amebaki kitengo cha wagonjwa walio chini ya uangalizi maalum katika hospitali ya Salford Royal.
Wachezaji na makocha mbalimbali wameendelea kutuma salamu za pole wakimtakia afya njema kocha huyo mwenye umri wa miaka 76, aliyestaafu mwaka 2013.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |