Neymar amerejea Ufaransa baada ya kufanyiwa upasuaji wa mguu wake mwezi Machi mwaka huu nyumbani kwao Brazil huku akitegemewa kuwa atarejea uwanjani wakati wa fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Russia lakini kuna tetesi kuwa anaweza kuichezea PSG kabla ya msimu kumalizika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |