• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Safaricom yatengeneza faida ya shilingi biliobi 55

    (GMT+08:00) 2018-05-10 19:42:08

    Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom imetenegeneza faida ya shilingi bilioni 55 huku ikikadiriwa kila mteja kulipa wastani wa shilingi elfu 8 kwa huduma tofauti kwa mwaka.

    Kampuni hoyo imepata jumla ya mapato ya shilingi bilioni 233.7 katika mwaka uliokamilika mwezi Machi 2018 ikiwa ni ongezeko la asilimia 9.8 ya mapato ya mwaka jana.

    Faida yake ya jumla baada ya ushuru imepanda kwa asilimia 14 ambayo ni shilingi bilioni 55.1.

    Afisa mkuu mtendaji wa kampuni hiyo Bob Colymore amesema ukuwaji huo umetokana na matumizi ya huduma ya mpesa pamoja na huduma nyingine za mawasiliano.

    Wateja wa Safaricom wameongezeka kwa asilimia 5.1

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako