Mohamed Abdilkarim afisa mkuu wa kikanda amethibitisha mauaji hayo pamoja na majeruhi kadhaa huku mali ya maelfu ya pesa ikiharibiwa na shambulizi hilo.
Soko hilo la Wanlaweyn linatambuila kwa biashara ya ya bidhaa za kilimo lakini maarufu zaidi kwa uuzaji wa miraa.
Haijuajulikana haswa aliyetekeleza shambulizi hilo lakini duru zinaarifu kuhusika kwa wanamgambo wa al shabaab.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |